TIGO PESA WAZINDUA PROMOSHENI YA “LIPA KWA SIMU , UWin KUHAMASISHA MALIPO KIDIGITALI
Dar es Salaam, Jumanne, Novemba 23, 2021, Kampuni inayoongoza kwa Utoaji wa huduma za kidijitali, Tigo, kupitia huduma yake ya Lipa Kwa Simu, imezindua promosheni ya mwisho wa mwaka inayoitwa Lipa Kwa Simu, uWini, promosheni inayolenga kuhamasisha wateja wa Tigo pesa kutumia huduma ya malipo ya kidijitali. Kupitia Promosheni hii Watumiaji wote wa Tigo Pesa
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed